Ayubu 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Kwa kweli ninyi ndinyi watu,Na hekima itakufa pamoja nanyi!+ Ayubu 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Je, wewe husikiliza mazungumzo ya siri ya Mungu,+Na je, ni wewe peke yako mwenye hekima? Ayubu 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, ninyi nyote mnaweza kuanza tena. Haya, tafadhali,Kwa kuwa sioni yeyote mwenye hekima kati yenu.+
10 Hata hivyo, ninyi nyote mnaweza kuanza tena. Haya, tafadhali,Kwa kuwa sioni yeyote mwenye hekima kati yenu.+