Waroma 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa maana “ni nani amekuja kuijua akili+ ya Yehova, au ni nani amekuwa mshauri wake?”+ 1 Wakorintho 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu anayejua mambo ya mwanadamu isipokuwa roho+ ya mwanadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo, pia, hakuna ambaye amekuja kuyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho+ ya Mungu.
11 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu anayejua mambo ya mwanadamu isipokuwa roho+ ya mwanadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo, pia, hakuna ambaye amekuja kuyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho+ ya Mungu.