Kutoka 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye Yehova akashuka+ katika wingu, akasimama huko pamoja naye na kulitangaza jina la Yehova.+ Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+
2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+