Zaburi 83:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Uwafuatilie vivyo hivyo tu kwa tufani yako+Nawe uwasumbue kwa upepo wako wenye dhoruba.+ Yeremia 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitawagonganisha mmoja na mwingine, akina baba na wana, wakati uleule,”+ asema Yehova. “Sitaonyesha huruma, wala kuwa na majonzi, nami sitakuwa na rehema ya kujizuia kuwaharibu.”’+
14 Nami nitawagonganisha mmoja na mwingine, akina baba na wana, wakati uleule,”+ asema Yehova. “Sitaonyesha huruma, wala kuwa na majonzi, nami sitakuwa na rehema ya kujizuia kuwaharibu.”’+