Ayubu 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nimesikia mambo mengi kama hayo.Ninyi nyote ni wafariji wasumbufu!+ Zaburi 69:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana yule ambaye wewe mwenyewe umempiga, wamemfuatilia,+Nao wanaendelea kusimulia maumivu ya wale ambao wewe uliwachoma.
26 Kwa maana yule ambaye wewe mwenyewe umempiga, wamemfuatilia,+Nao wanaendelea kusimulia maumivu ya wale ambao wewe uliwachoma.