Ayubu 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ikiwa nimetenda dhambi, ni nini ninaloweza kutimiza kukupinga wewe, Ee Mtazamaji wa wanadamu?+Kwa nini umeniweka kuwa shabaha yako, hivi kwamba niwe mzigo kwako? Ayubu 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Jueni, basi, kwamba Mungu mwenyewe amenipotosha,Naye ameuzungusha wavu wake wa kuwindia juu yangu.+
20 Ikiwa nimetenda dhambi, ni nini ninaloweza kutimiza kukupinga wewe, Ee Mtazamaji wa wanadamu?+Kwa nini umeniweka kuwa shabaha yako, hivi kwamba niwe mzigo kwako?
6 Jueni, basi, kwamba Mungu mwenyewe amenipotosha,Naye ameuzungusha wavu wake wa kuwindia juu yangu.+