Ayubu 41:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 “Je, unaweza kumvua Lewiathani*+ kwa ndoano,Au, je, unaweza kuufunga ulimi wake kwa kamba? Ayubu 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hakuna aliye na ushupavu kiasi cha kumwamsha.Na ni nani ambaye anaweza kusimama mbele zangu?+ Zaburi 74:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wewe mwenyewe uliponda vipande-vipande vichwa vya Lewiathani.*+Ukawapa watu kuwa chakula, wale wanaokaa katika maeneo yasiyo na maji.+ Zaburi 104:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Humo meli husafiri;+Naye Lewiathani,*+ yeye umemfanyiza ili achezecheze humo.+
14 Wewe mwenyewe uliponda vipande-vipande vichwa vya Lewiathani.*+Ukawapa watu kuwa chakula, wale wanaokaa katika maeneo yasiyo na maji.+