Kutoka 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+ Hesabu 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ila tu msimwasi Yehova;+ nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana wao ni mkate kwetu. Ulinzi wao umegeuka kutoka juu yao,+ na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”+
30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+
9 Ila tu msimwasi Yehova;+ nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana wao ni mkate kwetu. Ulinzi wao umegeuka kutoka juu yao,+ na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”+