Ayubu 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana najua vema kwamba utanirudisha kwenye kifo,+Na kwenye nyumba ya kukutania ya kila mtu aliye hai. Yohana 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+
23 Kwa maana najua vema kwamba utanirudisha kwenye kifo,+Na kwenye nyumba ya kukutania ya kila mtu aliye hai.
11 Alisema hayo, kisha akawaambia: “Lazaro rafiki yetu anapumzika, lakini ninafunga safari kwenda huko ili kumwamsha kutoka usingizini.”+