28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+
9 Nao hawakusikiliza,+ lakini Manase akaendelea kuwashawishi wafanye yaliyokuwa mabaya+ kuliko yale mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya wana wa Israeli.