Ayubu 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mweza-Yote ana thamani gani, ndipo tumtumikie,+Nasi tunajifaidi jinsi gani kwa kuwa tumewasiliana naye?’+ Ayubu 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana yeye amesema, ‘Mwanadamu hapati faida+Kwa kumfurahia Mungu.’
15 Mweza-Yote ana thamani gani, ndipo tumtumikie,+Nasi tunajifaidi jinsi gani kwa kuwa tumewasiliana naye?’+