Ayubu 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana yeye amesema, ‘Mwanadamu hapati faida+Kwa kumfurahia Mungu.’ Ayubu 35:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana unasema, ‘Ni wa faida gani kwako?+Ninapata faida gani zaidi kuliko nikitenda dhambi?’+ Malaki 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mmesema, ‘Hakuna faida kumtumikia Mungu.+ Na kwa vile tumeshika wajibu wetu kwake, na tumetembea kwa huzuni kwa sababu ya Yehova wa majeshi, kuna faida gani?+
14 “Mmesema, ‘Hakuna faida kumtumikia Mungu.+ Na kwa vile tumeshika wajibu wetu kwake, na tumetembea kwa huzuni kwa sababu ya Yehova wa majeshi, kuna faida gani?+