Methali 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini anayekosa kunipata anaifanyia nafsi yake jeuri;+ wale wote wanaonichukia vikali ndio wanaopenda kifo.”+ Methali 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ikiwa umekuwa na hekima, umekuwa na hekima kwa ajili yako mwenyewe;+ na ikiwa umefanya dhihaka, utaichukua, wewe peke yako.+ Yeremia 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 ‘Je, wananitia mimi uchungu?’ asema Yehova.+ ‘Je, si wao wenyewe, kusudi watie nyuso zao aibu?’+
36 Lakini anayekosa kunipata anaifanyia nafsi yake jeuri;+ wale wote wanaonichukia vikali ndio wanaopenda kifo.”+
12 Ikiwa umekuwa na hekima, umekuwa na hekima kwa ajili yako mwenyewe;+ na ikiwa umefanya dhihaka, utaichukua, wewe peke yako.+