Ayubu 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye pia angekuwa wokovu wangu,+Kwa maana hakuna mwasi-imani yeyote atakayekuja mbele zake.+ Waroma 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+
5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+