Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndivyo zilivyo njia za wale wote wanaomsahau Mungu,+

      Na tumaini la mwasi-imani litaangamia,+

  • Ayubu 27:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana ni nini tumaini la mwasi-imani iwapo anamkatilia mbali,+

      Iwapo Mungu anachukua nafsi yake kutoka kwake?+

  • Ayubu 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wale walio waasi-imani moyoni wataweka hasira.+

      Hawapaswi kulia wapewe msaada kwa sababu amewafunga.

  • Zaburi 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+

      Na ni nani anayeweza kusimama katika mahali pake patakatifu?+

  • Isaya 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Watenda-dhambi wamekuwa na hofu katika Sayuni;+ mtetemeko umewashika waasi-imani:+ ‘Ni nani kati yetu anayeweza kukaa kwa muda na moto unaoteketeza?+ Ni nani kati yetu anayeweza kukaa kwa muda wowote pamoja na mioto inayodumu muda mrefu?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki