Ayubu 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndivyo zilivyo njia za wale wote wanaomsahau Mungu,+Na tumaini la mwasi-imani litaangamia,+ Ayubu 27:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana ni nini tumaini la mwasi-imani iwapo anamkatilia mbali,+Iwapo Mungu anachukua nafsi yake kutoka kwake?+ Ayubu 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wale walio waasi-imani moyoni wataweka hasira.+Hawapaswi kulia wapewe msaada kwa sababu amewafunga. Zaburi 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+Na ni nani anayeweza kusimama katika mahali pake patakatifu?+ Isaya 33:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Watenda-dhambi wamekuwa na hofu katika Sayuni;+ mtetemeko umewashika waasi-imani:+ ‘Ni nani kati yetu anayeweza kukaa kwa muda na moto unaoteketeza?+ Ni nani kati yetu anayeweza kukaa kwa muda wowote pamoja na mioto inayodumu muda mrefu?’+
8 Kwa maana ni nini tumaini la mwasi-imani iwapo anamkatilia mbali,+Iwapo Mungu anachukua nafsi yake kutoka kwake?+
13 Na wale walio waasi-imani moyoni wataweka hasira.+Hawapaswi kulia wapewe msaada kwa sababu amewafunga.
3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+Na ni nani anayeweza kusimama katika mahali pake patakatifu?+
14 Watenda-dhambi wamekuwa na hofu katika Sayuni;+ mtetemeko umewashika waasi-imani:+ ‘Ni nani kati yetu anayeweza kukaa kwa muda na moto unaoteketeza?+ Ni nani kati yetu anayeweza kukaa kwa muda wowote pamoja na mioto inayodumu muda mrefu?’+