Ayubu 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye pia angekuwa wokovu wangu,+Kwa maana hakuna mwasi-imani yeyote atakayekuja mbele zake.+ Ayubu 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wale walio waasi-imani moyoni wataweka hasira.+Hawapaswi kulia wapewe msaada kwa sababu amewafunga. Waebrania 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 lakini ambao wameanguka,+ kuwarudisha tena kwenye toba,+ kwa sababu wanamtundika upya mtini Mwana wa Mungu kwa ajili yao wenyewe na kumfunua yeye kwenye aibu ya hadharani.+
13 Na wale walio waasi-imani moyoni wataweka hasira.+Hawapaswi kulia wapewe msaada kwa sababu amewafunga.
6 lakini ambao wameanguka,+ kuwarudisha tena kwenye toba,+ kwa sababu wanamtundika upya mtini Mwana wa Mungu kwa ajili yao wenyewe na kumfunua yeye kwenye aibu ya hadharani.+