Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yeye pia angekuwa wokovu wangu,+

      Kwa maana hakuna mwasi-imani yeyote atakayekuja mbele zake.+

  • Ayubu 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wale walio waasi-imani moyoni wataweka hasira.+

      Hawapaswi kulia wapewe msaada kwa sababu amewafunga.

  • Waebrania 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 lakini ambao wameanguka,+ kuwarudisha tena kwenye toba,+ kwa sababu wanamtundika upya mtini Mwana wa Mungu kwa ajili yao wenyewe na kumfunua yeye kwenye aibu ya hadharani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki