Kumbukumbu la Torati 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana niliogopa kwa sababu ya hasira kali ambayo Yehova alikuwa ameghadhibika kuwaelekea ninyi kufikia hatua ya kuwaangamiza ninyi.+ Hata hivyo, Yehova alinisikiliza pia wakati huo.+ Yeremia 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, Ee Yehova, nirekebishe mimi kulingana na hukumu;+ si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+
19 Kwa maana niliogopa kwa sababu ya hasira kali ambayo Yehova alikuwa ameghadhibika kuwaelekea ninyi kufikia hatua ya kuwaangamiza ninyi.+ Hata hivyo, Yehova alinisikiliza pia wakati huo.+
24 Hata hivyo, Ee Yehova, nirekebishe mimi kulingana na hukumu;+ si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+