- 
	                        
            
            Yeremia 5:22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
22 ‘Je, hata hamniogopi mimi,’+ asema Yehova, ‘au, je, hata hamna maumivu makali kwa sababu yangu,+ ambaye nimeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari, sharti linalodumu mpaka wakati usio na kipimo kwamba haiwezi kuvuka? Ingawa mawimbi yake husukasuka, bado hayawezi kushinda; na ingawa huchafuka, bado hayawezi kuuvuka.+
 
 -