Kumbukumbu la Torati 32:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa kweli nikiunoa upanga wangu unaometameta,+Na mkono wangu ushike hukumu,+Nitawalipa kisasi wapinzani wangu+Na kutoa malipo kwa wale wanaonichukia vikali.+ Ezekieli 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Mwana wa binadamu, toa unabii, nawe useme, ‘Yehova amesema hivi: “Sema, ‘Upanga, upanga!+ Umenolewa,+ nao umesuguliwa pia.
41 Kwa kweli nikiunoa upanga wangu unaometameta,+Na mkono wangu ushike hukumu,+Nitawalipa kisasi wapinzani wangu+Na kutoa malipo kwa wale wanaonichukia vikali.+
9 “Mwana wa binadamu, toa unabii, nawe useme, ‘Yehova amesema hivi: “Sema, ‘Upanga, upanga!+ Umenolewa,+ nao umesuguliwa pia.