Yeremia 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Msiyategemee maneno ya uwongo,+ mkisema, ‘Hekalu la Yehova, hekalu la Yehova, hili ni hekalu la Yehova!’ Mathayo 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na hata hivyo nitawaambia waziwazi: Sikuwajua ninyi kamwe!+ Ondokeni kwangu, ninyi wenye matendo ya uasi-sheria.+ Waroma 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 hata hivyo, je, wewe unayemfundisha mtu mwingine, hujifundishi mwenyewe?+ Wewe, unayehubiri “Usiibe,”+ je, wewe huiba?+
4 Msiyategemee maneno ya uwongo,+ mkisema, ‘Hekalu la Yehova, hekalu la Yehova, hili ni hekalu la Yehova!’
23 Na hata hivyo nitawaambia waziwazi: Sikuwajua ninyi kamwe!+ Ondokeni kwangu, ninyi wenye matendo ya uasi-sheria.+
21 hata hivyo, je, wewe unayemfundisha mtu mwingine, hujifundishi mwenyewe?+ Wewe, unayehubiri “Usiibe,”+ je, wewe huiba?+