Zaburi 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ondokeni kwangu, ninyi nyote mnaozoea kutenda mambo yenye kuumiza,+Kwa maana hakika Yehova atasikia sauti ya kulia kwangu.+ Luka 13:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini atasema na kuwaambia ninyi, ‘Sijui mnatoka wapi. Ondokeni kwangu, ninyi nyote mnaotenda ukosefu wa uadilifu!’+ 1 Yohana 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kila mtu aliye na mazoea ya kufanya dhambi+ anazoea pia kufanya uasi-sheria,+ na kwa hiyo dhambi+ ni uasi-sheria.
8 Ondokeni kwangu, ninyi nyote mnaozoea kutenda mambo yenye kuumiza,+Kwa maana hakika Yehova atasikia sauti ya kulia kwangu.+
27 Lakini atasema na kuwaambia ninyi, ‘Sijui mnatoka wapi. Ondokeni kwangu, ninyi nyote mnaotenda ukosefu wa uadilifu!’+
4 Kila mtu aliye na mazoea ya kufanya dhambi+ anazoea pia kufanya uasi-sheria,+ na kwa hiyo dhambi+ ni uasi-sheria.