Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Yehova akaona kuwa ubaya wa mwanadamu ulikuwa mwingi duniani na kila mwelekeo+ wa fikira za moyo wake ulikuwa mbaya tu wakati wote.+

  • Isaya 53:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sisi sote tumeenda huku na huku kama kondoo;+ sisi tumegeuka kwenda kila mmoja kwenye njia yake; na Yehova amefanya kosa letu sote likutane na huyo.+

  • Yeremia 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nimetega sikio,+ nami niliendelea kusikiliza.+ Jinsi walivyoendelea kusema haikuwa sawa. Hakuna mtu yeyote aliyekuwa akitubu ubaya wake,+ akisema, ‘Nimefanya nini?’ Kila mmoja anarudi katika mwendo unaopendwa na wengi,+ kama farasi anayekimbia kwenda vitani.

  • Sefania 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na wale wanaorudi nyuma wasimfuate Yehova,+ ambao hawakumtafuta Yehova wala kuuliza habari kutoka kwake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki