Ezekieli 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Yehova akamwambia: “Pita katikati ya jiji, katikati ya Yerusalemu, nawe lazima utie alama kwenye mapaji ya uso ya watu wanaougua na kulia+ kwa sababu ya machukizo yote yanayofanywa katikati yake.”+ Sefania 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakuu wake katikati yake walikuwa simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake walikuwa mbwa-mwitu wa jioni ambao hawakutafuna mifupa mpaka asubuhi.+
4 Na Yehova akamwambia: “Pita katikati ya jiji, katikati ya Yerusalemu, nawe lazima utie alama kwenye mapaji ya uso ya watu wanaougua na kulia+ kwa sababu ya machukizo yote yanayofanywa katikati yake.”+
3 Wakuu wake katikati yake walikuwa simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake walikuwa mbwa-mwitu wa jioni ambao hawakutafuna mifupa mpaka asubuhi.+