Zaburi 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wote wanaokukimbilia watashangilia;+Watapiga vigelegele vya shangwe+ mpaka wakati usio na kipimo.Nawe utaweka kizuizi wasifikiwe,Nao wanaolipenda jina lako watakushangilia.+ Zaburi 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.Moyo wangu umemtegemea yeye,+Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+
11 Lakini wote wanaokukimbilia watashangilia;+Watapiga vigelegele vya shangwe+ mpaka wakati usio na kipimo.Nawe utaweka kizuizi wasifikiwe,Nao wanaolipenda jina lako watakushangilia.+
7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.Moyo wangu umemtegemea yeye,+Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+