Zaburi 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikiliza kwa makini sauti ya kilio changu kwa ajili ya msaada,+Ee Mfalme+ wangu na Mungu wangu, kwa maana kwako wewe ninasali.+ Zaburi 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+ Zaburi 102:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 102 Ee Yehova, uisikie sala yangu;+Na kilio changu mwenyewe cha kuomba msaada na kije kwako.+ Zaburi 130:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Yehova, uisikie sauti yangu.+Masikio yako na yasikilize sauti ya kusihi kwangu.+
2 Sikiliza kwa makini sauti ya kilio changu kwa ajili ya msaada,+Ee Mfalme+ wangu na Mungu wangu, kwa maana kwako wewe ninasali.+
2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+