Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nimemweka Yehova mbele yangu daima.+

      Kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume, sitatikiswa.+

  • Zaburi 112:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa kuwa hatatikiswa kamwe.+

      ל [Laʹmedh]

      Mwadilifu atakuwa kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Methali 10:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Naye mwadilifu, mpaka wakati usio na kipimo hatafanywa apepesuke,+ lakini waovu, hawataendelea kukaa duniani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki