Zaburi 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nimemweka Yehova mbele yangu daima.+Kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume, sitatikiswa.+ Zaburi 112:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa kuwa hatatikiswa kamwe.+ ל [Laʹmedh]Mwadilifu atakuwa kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo.+ Methali 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye mwadilifu, mpaka wakati usio na kipimo hatafanywa apepesuke,+ lakini waovu, hawataendelea kukaa duniani.+
30 Naye mwadilifu, mpaka wakati usio na kipimo hatafanywa apepesuke,+ lakini waovu, hawataendelea kukaa duniani.+