Zaburi 37:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+ Mathayo 21:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Wakamwambia: “Kwa sababu wao ni waovu, atawaharibu+ hao vibaya na kulikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine, ambao watampa matunda kwa wakati wake.”+
9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+
41 Wakamwambia: “Kwa sababu wao ni waovu, atawaharibu+ hao vibaya na kulikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine, ambao watampa matunda kwa wakati wake.”+