Zaburi 56:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wao wanashambulia, wanajificha,+Wao wanaendelea kuziangalia hatua zangu,+Huku wakiwa wameingojea nafsi yangu.+ Zaburi 109:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+
6 Wao wanashambulia, wanajificha,+Wao wanaendelea kuziangalia hatua zangu,+Huku wakiwa wameingojea nafsi yangu.+
2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+