Zaburi 138:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wafalme wote wa dunia watakusifu wewe, Ee Yehova,+Kwa maana watakuwa wameyasikia maneno ya kinywa chako. Zaburi 142:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Uitoe nafsi yangu kutoka katika gereza la shimoni+Ili kulisifu jina lako.+Waadilifu na wakusanyike kunizunguka,+Kwa sababu unanitendea inavyofaa.+
4 Wafalme wote wa dunia watakusifu wewe, Ee Yehova,+Kwa maana watakuwa wameyasikia maneno ya kinywa chako.
7 Uitoe nafsi yangu kutoka katika gereza la shimoni+Ili kulisifu jina lako.+Waadilifu na wakusanyike kunizunguka,+Kwa sababu unanitendea inavyofaa.+