Isaya 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao hakika watakusanywa kama kukusanywa kwa wafungwa ndani ya shimo,+ na kufungiwa ndani ya gereza la shimoni;+ na baada ya siku nyingi watakaziwa fikira.+ Isaya 42:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ili wewe uyafungue macho yenye upofu,+ umtoe mfungwa katika gereza la shimoni,+ uwatoe katika nyumba ya kizuizini wale wanaoketi gizani.+ Yeremia 38:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwishowe wakamvuta Yeremia nje kwa zile kamba na kumtoa ndani ya lile tangi. Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.+
22 Nao hakika watakusanywa kama kukusanywa kwa wafungwa ndani ya shimo,+ na kufungiwa ndani ya gereza la shimoni;+ na baada ya siku nyingi watakaziwa fikira.+
7 ili wewe uyafungue macho yenye upofu,+ umtoe mfungwa katika gereza la shimoni,+ uwatoe katika nyumba ya kizuizini wale wanaoketi gizani.+
13 Mwishowe wakamvuta Yeremia nje kwa zile kamba na kumtoa ndani ya lile tangi. Na Yeremia akaendelea kukaa katika Ua wa Walinzi.+