Zaburi 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitamwimbia Yehova, kwa maana amenitendea kwa njia ya kunipa thawabu.+ Zaburi 116:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Rudi mahali pako pa kupumzika, Ee nafsi yangu,+Kwa maana Yehova mwenyewe amekutendea inavyofaa.+ Zaburi 119:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Umtendee mtumishi wako inavyofaa, ili nipate kuishi+Na ili nipate kulishika neno lako.+ Yakobo 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tazama! Tunawatangaza kuwa wenye furaha wale ambao wamevumilia.+ Mmesikia juu ya uvumilivu wa Ayubu+ nanyi mmeona matokeo ambayo Yehova alileta,+ kwamba Yehova ni mwenye upendo mwororo sana na mwenye rehema.+
11 Tazama! Tunawatangaza kuwa wenye furaha wale ambao wamevumilia.+ Mmesikia juu ya uvumilivu wa Ayubu+ nanyi mmeona matokeo ambayo Yehova alileta,+ kwamba Yehova ni mwenye upendo mwororo sana na mwenye rehema.+