Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitamwimbia Yehova, kwa maana amenitendea kwa njia ya kunipa thawabu.+

  • Zaburi 116:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Rudi mahali pako pa kupumzika, Ee nafsi yangu,+

      Kwa maana Yehova mwenyewe amekutendea inavyofaa.+

  • Zaburi 119:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  17 Umtendee mtumishi wako inavyofaa, ili nipate kuishi+

      Na ili nipate kulishika neno lako.+

  • Yakobo 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama! Tunawatangaza kuwa wenye furaha wale ambao wamevumilia.+ Mmesikia juu ya uvumilivu wa Ayubu+ nanyi mmeona matokeo ambayo Yehova alileta,+ kwamba Yehova ni mwenye upendo mwororo sana na mwenye rehema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki