Zaburi 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitamwimbia Yehova, kwa maana amenitendea kwa njia ya kunipa thawabu.+ Zaburi 119:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Umtendee mtumishi wako inavyofaa, ili nipate kuishi+Na ili nipate kulishika neno lako.+ Zaburi 145:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova anawalinda wale wote wanaompenda,+Lakini atawaangamiza waovu wote.+ Waebrania 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Zaidi ya hayo, bila imani+ haiwezekani kamwe kumpendeza vema,+ kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko+ na kwamba yeye huwa mthawabishaji+ wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+
6 Zaidi ya hayo, bila imani+ haiwezekani kamwe kumpendeza vema,+ kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko+ na kwamba yeye huwa mthawabishaji+ wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+