Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitamwimbia Yehova, kwa maana amenitendea kwa njia ya kunipa thawabu.+

  • Zaburi 119:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  17 Umtendee mtumishi wako inavyofaa, ili nipate kuishi+

      Na ili nipate kulishika neno lako.+

  • Zaburi 145:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yehova anawalinda wale wote wanaompenda,+

      Lakini atawaangamiza waovu wote.+

  • Waebrania 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, bila imani+ haiwezekani kamwe kumpendeza vema,+ kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko+ na kwamba yeye huwa mthawabishaji+ wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki