Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo Yehova akaisikiliza sauti ya Israeli na kuwakabidhi Wakanaani; nao wakawaangamiza wao na majiji yao. Kisha wakapaita mahali hapo Horma.+

  • Yoshua 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova naye akawavuruga mbele ya Israeli,+ nao wakaanza kuwaua kwa mauaji makuu katika Gibeoni,+ wakawafuatilia kwa njia ya mpando wa Beth-horoni, wakawaua mpaka Azeka+ na Makeda.+

  • Yeremia 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Israeli alikuwa kitu kitakatifu kwa Yehova,+ zao la kwanza kwake Yeye.”’+ ‘Watu wowote waliomrarua walikuwa wakijiingiza katika hatia.+ Msiba ulikuwa ukija juu yao,’ alisema Yehova.”+

  • Yoeli 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Ole wake siku ile;+ kwa sababu siku ya Yehova iko karibu,+ nayo itakuja kama mporaji kutoka kwa Mweza-Yote!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki