Zaburi 69:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nimezama katika matope mengi, mahali ambapo hapana udongo wa kusimama.+Nimeingia katika maji mengi,Na kijito kinachotiririka kimenifagilia mbali.+ Maombolezo 3:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Nimeita jina lako, Ee Yehova, kutoka katika shimo la chini kabisa.+
2 Nimezama katika matope mengi, mahali ambapo hapana udongo wa kusimama.+Nimeingia katika maji mengi,Na kijito kinachotiririka kimenifagilia mbali.+