Zaburi 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova ndiye sehemu ya fungu langu+ nililogawiwa na ya kikombe changu.+Wewe unaishika sana kura yangu. Wafilipi 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, kwa kweli naviona vitu vyote kuwa hasara kwa sababu ya thamani bora zaidi ya kumjua Kristo Yesu Bwana wangu.+ Kwa sababu yake nimekubali hasara ya vitu vyote nami naviona kuwa takataka nyingi,+ ili niweze kumpata Kristo
5 Yehova ndiye sehemu ya fungu langu+ nililogawiwa na ya kikombe changu.+Wewe unaishika sana kura yangu.
8 Kwa hiyo, kwa kweli naviona vitu vyote kuwa hasara kwa sababu ya thamani bora zaidi ya kumjua Kristo Yesu Bwana wangu.+ Kwa sababu yake nimekubali hasara ya vitu vyote nami naviona kuwa takataka nyingi,+ ili niweze kumpata Kristo