Zaburi 42:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa kweli nafsi yangu ina kiu kwa ajili ya Mungu,+ kwa ajili ya Mungu aliye hai.+Ni wakati gani nitakapokuja nionekane mbele za Mungu?+ Zaburi 84:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+ Isaya 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nimekutamani wewe kwa nafsi yangu usiku;+ ndiyo, ninaendelea kukutafuta kwa roho yangu ndani yangu;+ kwa sababu, wakati kunapokuwa na hukumu kutoka kwako kwa ajili ya dunia,+ wakaaji wa nchi yenye kuzaa hakika watajifunza uadilifu.+
2 Kwa kweli nafsi yangu ina kiu kwa ajili ya Mungu,+ kwa ajili ya Mungu aliye hai.+Ni wakati gani nitakapokuja nionekane mbele za Mungu?+
2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+
9 Nimekutamani wewe kwa nafsi yangu usiku;+ ndiyo, ninaendelea kukutafuta kwa roho yangu ndani yangu;+ kwa sababu, wakati kunapokuwa na hukumu kutoka kwako kwa ajili ya dunia,+ wakaaji wa nchi yenye kuzaa hakika watajifunza uadilifu.+