Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yehova amefanya kila kitu kwa kusudi lake,+ naam, hata mwovu kwa ajili ya siku ya uovu.+

  • Danieli 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo Nebukadneza akajaa ghadhabu, na sura ya uso wake ikabadilika juu ya Shadraki, Meshaki na Abednego. Akasema kwamba tanuru itiwe moto mara saba kuliko ilivyokuwa kawaida kuitia moto.

  • Danieli 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nebukadneza akajibu na kusema: “Abarikiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego,+ aliyemtuma malaika wake+ na kuwaokoa watumishi wake waliomtegemea,+ na ambao walibadili neno la mfalme na kutoa miili yao, kwa maana hawakutumikia kamwe+ wala kuabudu+ mungu yeyote mwingine ila Mungu wao wenyewe.+

  • Waroma 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hata hivyo, ikiwa ukosefu wetu wa uadilifu unatokeza wazi uadilifu+ wa Mungu, tutasema nini? Je, Mungu hukosa haki+ anapofungulia ghadhabu yake? (Ninasema kama mwanadamu+ anavyosema.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki