Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Sayuni akaendelea kusema: “Yehova ameniacha,+ na Yehova mwenyewe amenisahau.”+

  • Isaya 63:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+

  • Yeremia 50:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wataendelea kuuliza njia ya kwenda Sayuni, nyuso zao zikiwa zimeelekezwa upande huo,+ wakisema, ‘Njooni, tujiunge pamoja na Yehova katika agano ambalo halitasahauliwa, linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki