Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+

  • Yoshua 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 ndipo maji yanayoshuka kutoka juu yakaanza kusimama. Yakasimama kama ukuta wa maji+ mbali sana huko Adamu, jiji lililo kando ya Sarethani,+ na yale yanayoshuka kuelekea bahari ya Araba, yaani, Bahari ya Chumvi,+ yakaisha. Yalizuiliwa kabisa, na watu wakavuka mbele ya Yeriko.

  • Zaburi 114:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Bahari iliona na kukimbia;+

      Yordani nao ulianza kurudi nyuma.+

  • Habakuki 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Je, ni juu ya mito, Ee Yehova, je, hasira yako imewaka juu ya mito,+ au je, ghadhabu yako iko juu ya bahari?+ Kwa maana ulipanda farasi zako;+ magari yako yalikuwa wokovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki