Kutoka 40:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye akaweka ile madhabahu+ ya toleo la kuteketezwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano, ili atoe juu yake toleo la kuteketezwa+ na toleo la nafaka, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa. Kutoka 40:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nalo wingu+ likaanza kulifunika hema la mkutano, na utukufu wa Yehova ukaijaza maskani.
29 Naye akaweka ile madhabahu+ ya toleo la kuteketezwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano, ili atoe juu yake toleo la kuteketezwa+ na toleo la nafaka, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.