9 Na ikawa katika mwaka wa nne wa Mfalme Hezekia, yaani, mwaka wa saba wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, kwamba Shalmanesa+ mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya Samaria, akaanza kulizingira.+
32Baada ya mambo hayo na mwendo huu wa uaminifu+ Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akaja na kuvamia Yuda na kupiga kambi juu ya majiji yenye ngome,+ naye akaendelea kufikiria kuyafanya yawe yake kwa kuyavunja.