2 Samweli 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme wake mpaka wakati usio na kipimo.+ 1 Mambo ya Nyakati 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami hakika nitachagua mahali kwa ajili ya watu wangu Israeli na kuwapanda,+ nao hakika watakaa mahali walipo, nao hawatasumbuliwa tena; na wana wa ukosefu wa uadilifu+ hawatawachosha tena kama walivyofanya hapo mwanzoni,+ Mathayo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Ibilisi akamwacha,+ na, tazama! malaika wakaja na kuanza kumhudumia.+
13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme wake mpaka wakati usio na kipimo.+
9 Nami hakika nitachagua mahali kwa ajili ya watu wangu Israeli na kuwapanda,+ nao hakika watakaa mahali walipo, nao hawatasumbuliwa tena; na wana wa ukosefu wa uadilifu+ hawatawachosha tena kama walivyofanya hapo mwanzoni,+