2 Samweli 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Nenda, umwambie Daudi, ‘Yehova amesema hivi: “Ninakuwekea mambo matatu.+ Jichagulie mwenyewe moja kati ya hayo ili nikutendee hilo.”’”+ Zekaria 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Ee upanga, amka juu ya mchungaji+ wangu, juu ya mwanamume ambaye ni mwenzangu,”+ asema Yehova wa majeshi. “Mpige mchungaji,+ na wale wa kundi watawanyike;+ nami nitageuza mkono wangu juu ya wale wasio na maana.”+
12 “Nenda, umwambie Daudi, ‘Yehova amesema hivi: “Ninakuwekea mambo matatu.+ Jichagulie mwenyewe moja kati ya hayo ili nikutendee hilo.”’”+
7 “Ee upanga, amka juu ya mchungaji+ wangu, juu ya mwanamume ambaye ni mwenzangu,”+ asema Yehova wa majeshi. “Mpige mchungaji,+ na wale wa kundi watawanyike;+ nami nitageuza mkono wangu juu ya wale wasio na maana.”+