Zaburi 44:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unatuweka kuwa shutuma kwa jirani zetu,+Kuwa dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+ Zaburi 74:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usimame, Ee Mungu, uendeshe kesi yako.+Uikumbuke shutuma yako mchana kutwa kutoka kwa mtu asiye na akili.+ Waebrania 11:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 kwa sababu aliona shutuma ya Kristo+ kuwa ni utajiri mkubwa kuliko hazina za Misri; kwa maana alikaza macho kwenye malipo ya thawabu.+
13 Unatuweka kuwa shutuma kwa jirani zetu,+Kuwa dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+
22 Usimame, Ee Mungu, uendeshe kesi yako.+Uikumbuke shutuma yako mchana kutwa kutoka kwa mtu asiye na akili.+
26 kwa sababu aliona shutuma ya Kristo+ kuwa ni utajiri mkubwa kuliko hazina za Misri; kwa maana alikaza macho kwenye malipo ya thawabu.+