Nehemia 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote. Zaburi 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+Amina na Amina.+ Zaburi 72:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+
5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote.
13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+Amina na Amina.+