1 Mambo ya Nyakati 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hawa wote ndio waliokuwa chini ya amri ya baba yao katika nyimbo kwenye nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ vinanda+ na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli. Chini ya amri ya mfalme kulikuwa Asafu na Yeduthuni na Hemani.+ Zaburi 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtoleeni Yehova shukrani kwa kinubi;+Mpigieni muziki kwa kinanda+ chenye nyuzi kumi.
6 Hawa wote ndio waliokuwa chini ya amri ya baba yao katika nyimbo kwenye nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ vinanda+ na vinubi+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli. Chini ya amri ya mfalme kulikuwa Asafu na Yeduthuni na Hemani.+