Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+ Zaburi 145:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ufalme wako ni ufalme kwa nyakati zote zisizo na kipimo,+Na mamlaka yako ni ya kuendelea mpaka vizazi vyote vinavyofuata.+
2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+
13 Ufalme wako ni ufalme kwa nyakati zote zisizo na kipimo,+Na mamlaka yako ni ya kuendelea mpaka vizazi vyote vinavyofuata.+