Zaburi 90:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+ Zaburi 102:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini wewe, Ee Yehova, utakaa mpaka wakati usio na kipimo,+Na ukumbusho wako utakuwa kwa kizazi baada ya kizazi.+ Habakuki 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, wewe si wa tangu zamani za kale, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.+ Ee Yehova, umeliweka kwa ajili ya hukumu; na kwa ajili ya kukaripia+ umeliwekea msingi, Ee Mwamba.+ Ufunuo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”+ asema Yehova Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja,+ Mweza-Yote.”+
2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+
12 Lakini wewe, Ee Yehova, utakaa mpaka wakati usio na kipimo,+Na ukumbusho wako utakuwa kwa kizazi baada ya kizazi.+
12 Je, wewe si wa tangu zamani za kale, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.+ Ee Yehova, umeliweka kwa ajili ya hukumu; na kwa ajili ya kukaripia+ umeliwekea msingi, Ee Mwamba.+
8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”+ asema Yehova Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja,+ Mweza-Yote.”+