Zaburi 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mbele yangu wewe unatayarisha meza mbele ya wale wanaonionyesha uadui.+Umepaka kichwa changu mafuta;+Kikombe changu kimejazwa vizuri.+ Zaburi 65:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwenye furaha ni yule unayemchagua na kumfanya akaribie,+Ili apate kukaa katika nyua zako.+Hakika tutashiba mema ya nyumba yako,+Mahali patakatifu pa hekalu lako.+ 1 Timotheo 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+
5 Mbele yangu wewe unatayarisha meza mbele ya wale wanaonionyesha uadui.+Umepaka kichwa changu mafuta;+Kikombe changu kimejazwa vizuri.+
4 Mwenye furaha ni yule unayemchagua na kumfanya akaribie,+Ili apate kukaa katika nyua zako.+Hakika tutashiba mema ya nyumba yako,+Mahali patakatifu pa hekalu lako.+
17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+