7 Kwa maana Yehova Mungu wako anakuleta katika nchi nzuri,+ nchi yenye mabonde ya mito yenye maji, mabubujiko na vilindi vya maji kutoka katika nchi tambarare ya bonde+ na katika eneo lenye milima,
18 Nitafungua mito juu ya vilima vitupu, na mabubujiko katikati ya nchi tambarare za bondeni.+ Nitaifanya nyika kuwa dimbwi la maji lenye matete mengi, na nchi isiyo na maji kuwa chemchemi za maji.+